BAJETI WIZARA YA AFYA YAWASILISHWA BARAZA KUU LA WATUMISHI
MKURUGENZI wa Idara ya Sera na Mipango, Amour Amour akiwasilisha makadilio ya bajeti ya mwaka mpya wa fedha 2026/27, pamoja na matumizi ya fedha za bajeti za mwaka wa fedha 2025/26 mbele ya wajumbe wa Baraza la wafanyakazi wa wizara ya afya, Mei 3, 2026, jijini Mwanza.
Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe akijibu Hoja mbalimbali na kutoa ufafanuzi wa ajenda ya Bima ya Afya kwa Wote, Huduma za Tiba Asili, kusomana kwa mifumo pamoja na suala ya ufadhili wa masomo katika Kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Wizara ya Afya kinachoendelea jijini Mwanza, leo 03 Mei 2026.



Comments
Post a Comment