RIP MWANAHABARI EDITHA CARLO


 Usiku mbaya kutokana na tasnia  ya habari kumpoteza Mwandishi Editha Carlo aliyekuwa akiripoti kutokea Kigoma. Pumzika rafiki, pumzika mdogo wetu, Poleni sana Kigoma, Mungu awatie nguvu wanafamilia. Mwangwi wa sauti yako ungalipo masikioni mwangu, "Zablon, utakuja lini Kigoma? Njoo kuna stori nyingi sana" mara  ya mwisho miaka kadhaa iliyopita Mtaa wa Samora nikiwa katika 'Kipanya' cha wanahabaŕi wa Mwananchi Communicationa Ltd (MCL), tukirejea Tabata kutoka Idara  ya Habari (MAELEZO).

Comments

Popular posts from this blog

CCM YAISHUKURU SMZ, WAKAZI KIKWAJUNI

CCM YAONYA WATEULE MIUNDOMBINU ZANZIBAR

TRA YATAKIWA IJIPANGE DIRA MAENDELEO YA TAIFA