JENERALI WAITARA AONGOZA KIKAO BODI WADHAMINI TANAPA
WAJUMBE wa Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA) wakiongozwa na Mwenyekiti wa Bodi hiyo Jenerali George Marwa Waitara (Mkuu wa Majeshi Mstaafu) wamekutana leo Aprili 27, 2026 Jijini Dodoma.
Mkutano huo ni kwa ajili ya kuanza kikao maalum cha 107 cha Bodi hiyo ambapo wameanza na Kikao cha Kamati ya Utalii na Huduma za Shirika chini ya Mwenyekiti wa Kamati hiyo Athuman Mahmoud Kwariko.
1.
_Bodi ikiwa na Kikao cha Kamati ya Utalii na Huduma za Shirika chini ya Mwenyekiti wa Kamati hiyo Athuman Mahmoud Kwariko._






Comments
Post a Comment