DKT.MWINYI ASHIRIKI KIKAO CHA KAMATI KUU YA CCM TAIFA

MAKAMU Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa  Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dkt.Hussein Ali Mwinyi ameshiriki Kikao cha siku mbili cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM kilichokutana  Jijini Dar es Salaam na kukamilika leo Jumatano tarehe 29 Aprili, 2026.

Kikao hicho kimeongozwa na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan .



Comments

Popular posts from this blog

CCM YAISHUKURU SMZ, WAKAZI KIKWAJUNI

CCM YAONYA WATEULE MIUNDOMBINU ZANZIBAR

TRA YATAKIWA IJIPANGE DIRA MAENDELEO YA TAIFA