RAIS DKT. MWINYI AJUMUIKA NA JAMII EID AL FITR, IKULU ZANZIBAR


21 Machi 2026, mara baada ya Sala ya Eid al-Fitr, nimepata fursa ya kukutana na viongozi wa dini, masheikh pamoja na wananchi waliofika Ikulu kusherehekea Sikukuu hii tukufu.

Nimefarijika kutoa Mkono wa Eid kwa mamia ya watoto, wajane na wananchi wenye mahitaji maalum, ikiwa ni sehemu ya utamaduni wetu wa kuonesha upendo, mshikamano na kujali wenzetu.

Nawatakia Waislamu wote Eid njema yenye baraka, furaha na amani. 🌙






Comments

Popular posts from this blog

CCM YAISHUKURU SMZ, WAKAZI KIKWAJUNI

CCM YAONYA WATEULE MIUNDOMBINU ZANZIBAR

TRA YATAKIWA IJIPANGE DIRA MAENDELEO YA TAIFA