DKT. MWINYI AFANYA MAZUNGUMZO NA MAKAMPUNI YA CHINA
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, leo 26 Machi amefanya mazungumzo na uongozi wa kampuni ya Liaoning Fangda Group of Companies ya China.
Ujumbe huo wa China katika mazungumzo hayo yaliyofanyika ukumbi wa mikutano Ikulu, yaliongozwa na Mwenyekiti wake, Bw. Ao Xinhua.



Comments
Post a Comment