DKT. MWINYI AONGOZA KAMATI MAALUM YA CCM ZANZIBAR

 

 


Makamu Mwenyekiti CCM Zanzibar,  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi ameongoza Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa NEC, kilichofanyika katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui, Zanzibar  18 Januari 2026.



Wajumbe wakimkaribisha Makamu Mwenyekiti CCM, Dkt. Hussein Ali Mwinyi


Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar, Dkt. Mohammed  Said Mohammed akitoa maelekezo kabla ya kikao kuanza.



Waziri wa mstaafu katika Wizara tofauti katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Maua Daftari  (mwenye  ushungi wa njano) ni mmoja kati ya wamumbe wa mkutano huo.






Comments

Popular posts from this blog

CCM YAISHUKURU SMZ, WAKAZI KIKWAJUNI

CCM YAONYA WATEULE MIUNDOMBINU ZANZIBAR

TRA YATAKIWA IJIPANGE DIRA MAENDELEO YA TAIFA