MWI.I WA JENISTA MHAGAMA WAWASI.I RUVUMA


 MWILI WA JENISTA MHAGAMA WAWASILI RUVUMA


Na Mwandishi Wetu, Songea

MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Peramiho, umewasili Mjini Songea Mkoani Ruvuma leo 14 Desemba 2025 na kupokewa na waomboleza wakiongozwa na viongozi mbalimbali wa serikali mkoani humo.

Mwili huo mara baada ya kuwasili ulipelekwa nyumbani kwake Mjini humo na unatarajiwa kuzikwa 16 Desemba 2025, Kijiji cha Ruanda, Mbinga mkoani Ruvuma.

Comments

Popular posts from this blog

CCM YAISHUKURU SMZ, WAKAZI KIKWAJUNI

CCM YAONYA WATEULE MIUNDOMBINU ZANZIBAR

TRA YATAKIWA IJIPANGE DIRA MAENDELEO YA TAIFA