MAMIA WAMUAGA JENISTA MHAGAMA PAROKIANI PERAMIHO, RUVUMA


 MAMIA WAMUAGA JENISTA MHAGAMA    PAROKIANI PERAMIHO, RUVUMA

Na Mwandishi  Wetu, Ruvuma

MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa  Peramiho, umeagwa leo 15 Desemba 2025  katika Kanisa   Katoliki la Mt. Benedict, Abasia ya Peramiho Jimbo Kuu, Songea.

Ibada hiyo ambayo ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa vyama vya siasa  na serikali, Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba alisema baada ya Ibada ya kuaga alisema serikali itajitahidi watoto wa marehemu waweze kufikia ndoto zao kitaaluma.

Mbunge huyo, anatarajiwa kuzikwa kesho 16 Desemba 2025, Kijiji cha Ruanda, wilaya  ya Mbinga, mkoani Ruvuma.

Comments

Popular posts from this blog

CCM YAISHUKURU SMZ, WAKAZI KIKWAJUNI

CCM YAONYA WATEULE MIUNDOMBINU ZANZIBAR

TRA YATAKIWA IJIPANGE DIRA MAENDELEO YA TAIFA