Mkutano Mawaziri Jumuia Madola
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Balozi Mahmoud Thabit Kombo, akishiriki Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Madola, pembezoni mwa Mkutano wa 80 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, unaofanyika jijini New York, Marekani.
.jpg)
Comments
Post a Comment